Thursday, November 17, 2011

SAFARI LAGER YAPELEKA TIMU YA POOLTABLE MALAWI

Wadhamini wakubwa wa michezo nchini tanzania (TBL) wametangaza timu ya wachezaji wa pool table watakaokuwa nchini Malawi kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya ALL AFRICA CUP 2011.

Akiwapa moyo Mwenyekiti mpya wa BMT Ndugu Dionis Malinzi amewasihii kuiwakilisha Tanzania vizuri na kurudi na ushindi. kuonyesha kwamba anawaunga mkono amewapatia dola za kimarekani 1000 ili ziwasaidie katika safari yao na mambo mengine.

Friday, August 12, 2011

Marekani yataka dunia kuitenga Syria

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Hillary Clinton amezitaka serikali nyingine za magharibi kuiwekea vikwazo nchi ya Syria kufuatia harakati za kijeshi dhidi ya waandamanaji wanaopinga serikali.
Amesema hatua kutoka Ulaya, China na India zinaweza kuathiri sekta ya nishati nchini Syria na kumshinikiza rais Bashar Al Asaad.

Jumatano wiki hii Marekani ilitangaza kuiwekea vikwazo nchi ya Syria. Hata hivyo utawala wa Rais Obama anafahamu kwamba baadhi ya serikali za magharibi zina uhusiano wa ndani na Damascus na inataka zichangie kuhusu mzozo wa Syria.

Kwenye mahojiano na shirika la habari la CBS NEWS, Hillary Clinton alitangaza wazi kuitaka Urusi iwache kumuuzia rais Bashar Al Asaad silaha. Aidha ametaka vikwazo vipya kulenga sekta ya nishati moja wapo ya tegemeo kubwa la mapato kwa serikali ya Syria.

Hapo Alhamisi Rais Barack Obama alifanya mazungumo kwa njiya ya simu na Waziri Mkuu wa Uturiki Recep Tayyip Erdogan. Msemaji wa ikulu ya White house amesema viongozi hao waliafikiana kwamba sharti umwagikaji wa damu kusitishwa mara moja na Syria kuanza mchakato wa mageuzi ya kidemokrasia.

Vyombo vya habari Marekani vimesema rais Barack Obama anajitayarisha kutoa tangazo la kumtaka Bashar Al Asaad kuondoka madarakani. Msemaji wa rais amewaambia waandishi habari kwamba muda wa utawala wa bw. Asaad umefika kikomo na kwamba dunia itakuwa salama bila kuwa na viongozi kama yeye.



Tuesday, April 12, 2011

Gbagbo captured by French special force

French special forces have captured Ivory Coast dictator Laurent Gbagbo and handed him over to rebel forces following a fierce battle today, a spokeswoman for presidential rival Alassane Ouattara has claimed. Laurent Gbagbo Photo: AP It is likely to hasten an end to the bloody fighting in the African country which has claimed hundreds of lives over the past few weeks. Sources close to Gbagbo said he was held following an all-out assault on his official home in Abidjan. He is currently being held at the Golf Hotel in the city, along with his wife and other members of his family, as well as advisors.

Tuesday, March 29, 2011

Tripoli, Libya (CNN) -- Opposition fighters continued to push west, entering territory loyal to Libyan leader Moammar Gadhafi, but were quickly beaten back, rebels told CNN, as diplomats arrived Tuesday in London to discuss the crisis.


The setback for the rebels highlights the tenuous nature of their recent gains and suggests they might face more resistance in the days to come.

As they moved into Umm el Ghindel -- near Sirte, Gadhafi's birthplace -- rebels began searching homes and found that Gadhafi's forces had armed residents in the area, they said. As they were talking to residents, asking them to join the opposition, gunfire broke out. Rebels told CNN they refused to fire back and began a hasty retreat. A stream of vehicles could be seen fleeing the area.