Kwetu news bulletin is there to update you on national and international news. This is there also to make your business well advertised inside and outside the country. The blogger is living Dar es salaam, Tanzania, Africa. Join us in order to be updated.
Monday, November 19, 2012
Justin Bieber became a Hello on American Awards
America proved its Bieber Fever was strong: The teen singer dominated the American Music Awards on Sunday night.
Bieber's wins included the show's top award, artist of the year. His mom joined him onstage as he collected the trophy, beating out Rihanna, Maroon 5, Katy Perry and Drake.
"I wanted to thank you for always believing in me," Bieber said, looking to his mom.
The 18-year-old also won the honor in 2010. He said it's "hard growing up with everyone watching me" and asked that people continue to believe in him.
Bieber and Nicki Minaj performed together — and separately — at the AMAs, and were both multiple winners.
But another collaboration was the night's most colorful performance: Korean rapper PSY and MC Hammer. Hammer joined the buzzed-about pop star for his viral hit "Gangnam Style." PSY rocked traditional "Hammer" pants as they danced to his jam and to Hammer's "Too Legit to Quit."
Bieber won favorite pop/rock male artist in the first award handed out at Sunday's show and gave a shout-out to those who didn't think he would last on the music scene.
"I want to say this is for all the haters who thought I was just here for one or two years. I feel like I'm going to be here for a very long time," he said.
He also won favorite pop/rock album for his platinum-selling third album, "Believe." He gave a stripped down, acoustic performance of "As Long As You Love Me," then transitioned to the dance-heavy "Beauty and a Beat," where Minaj joined him onstage, grinding with the teen for a few seconds.
Thursday, November 8, 2012
Jumba la ghorofa limeporoma nchini Ghana
Waokozi wanaendelea na shughuli ya kutafuta manusura ingawa taarifa zinasema kuwa watu wawili wamefariki katika tukio hilo.
Rais wa nchi hiyo, John Dramani Mahama, ameakhirisha kampeini zake za uchaguzi utakaofanyika mwezi ujao kushughulika mkasa huo.
Naibu wake Paa Kwesi Amissah-Arthur, anaratibu juhudi za uokozi kufuatia kuporomoka kwa jengo hilo mjini Achimota .
Maafisa wanasema kuwa wanaamini takriban watu hamsini walikuwa ndani ya jengo hilo wakati lilipoporomoka asubuhi ya leo.
Mamia ya waokoaji wanawatafuta manusura kwenye vifusi kukiwa na hofu ya watu wengi kanaswa.
''Nilikuwa karibu sana na jengo hilo kwa sababu nilkuwa naenda kununua kitu madukani lakini punde nikaona jengo hilo likianza kuanguka.'' alisema makaazi mmoja Ama Okyere
"Nililazimika kukimbilia usalama wangu. Ninaamini kuwa kuna watu wengi waliokwama ndani ya vifusi kwa sababu hii ni mojawapo ya maduka ambayo yanapendwa sana na watu.'' alisema Ama Okyere
Rais wa Marekani Barack Obama amechaguliwa tena
Barack ambaye ni rais wa kwanza mweusi wa Marekani, alipata kura 270 za (Electral College) zilizohitajika ili kupata ushindi.
Kura hizi hupigwa na watu maalum wanaoteuliwa na majimbo kulingana na idadi ya miji katika majimbo hayo.
Katika hotuba yake ya ushindi, mbele ya umati mkubwa wa watu mjini Chicago, Obama alisema kuwa atashauriana na bwana Romney kuhusu wanavyoweza kuendesha nchi hiyo.
Aidha Obama aliweza kuwashawishi wananchi kumpigia kura na hivyo kushinda licha ya changamoto nyingi zilizowavunja moyo wananchi hususan swala la uchumi.
Obama pia alikabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa mshindani wake Mit Romney.
Wabunge wake wa Democrats waliweza kusalia na idadi yao kubwa katika bunge la Senate ambalo wameshikilia tangu mwaka 2007.
Wabunge wa Republican nao wataendelea kudhibiti bunge la waakilishi, hatua ambayo wadadisi wanasema kuwa huenda likasalia kuwa kikwazo kikubwa kwa Obama na mipango yake ya nchi hasa kuhusu maswala ya sheria.
Sherehe zilizofuata ushindi wa Barack Obama
Katika hotuba yake ya ushindi Obama aliwataka wapinzani wake kushirikiana naye kuleta mageuzi nchini humo.
Zikiwa zimesalia tu kura 29 kutoka kwa jimbo la Florida, Obama aliweza kushinda kura 303 dhidi ya kura 206 za Mit Romney.
Katika kura za ujumla zilizopigwa na wananchi ambazo ni muhimu kisiasa ingawa sizo ambazo zinampa rais ushindi , ushindani mkali ulidhirika kwani Obama alipata asilima hamsini huku Romney akipata asilimia 48.
Obama alimpongeza bwana Romney na mgombea mwenza wake Paul Ryan kwa kuendesha kampeini yao iliyokuwa na ushindani mkubwa.
Bwana Obama alisema anarejea ikulu ya White house akiwa na motisha zaidi kumaliza kazi aliyoianzisha na kuhakikisha mustakabali mwema kwa wamarekani.
Obama alituma ujumbe kwenye Twitter baada ya kupata taarifa za ushidni wake akiwashukuru wapiga kura
Katika hisia zilizotolewa kote ulimwenguni kufuatia ushindi wa rais Obama, Wizara ya mambo ya nje ya Uchina imesema rais Hu Jintao na waizri mkuu Wen Jiabao wamempongeza Obama kuchaguliwa tena kuwa rais.
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, amesema Rais Obama amekuwa kiongozi mwenye mafanikio na alitazamia kuendelea kufanya kazi naye.
Rais wa Umoja wa Ulaya Herman van Rompuy, amesema ana furaha kuhusu ushindi wa rais Obama. Naye waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani umezidi kuwa na nguvu kushinda siku za nyuma.
Friday, October 19, 2012
Sustainable wetland management Programme
This is the team tht was doing a field visit to the Lake victoria Beach management unit where they were also learning on different management procedures
Subscribe to:
Posts (Atom)