Tuesday, February 16, 2010

MAUWAJI YA KIKATIRI HUKO MARA

Mauwaji makubwa yametokea huko mara yanayotokana na ugomvi wa koo
Taarifa zinasema kwamba watu wapatao 16 wameuwawa jana wa ukoo mmoja

tunaendelea kufuatilia habari

Waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania pamoja na crew nzima ya ulinzi nafikiri watalimaliza

No comments: