Thursday, January 21, 2010

JAMANI JAMANI


HATA WANYAMA WANAPENDA KUBUSU WATU ILA WANAPENDA PUA ZAID MAANA WANAONA KAMA NI PANYA FULANI HIVI.




See yourself this funny picture aven animals like to kiss human being.

Tuesday, January 19, 2010

MAMAA SHAMIMU, MAMA WA KAZI


Si wanawake wote wanaopenda kazi ila baadhi yao kama huyu ni balaa. Dada Shamimu akiwa anashindwa kukaa sababu ya kazi zilivyonyingi.

Tembelea hii blog utapata mambo yake mengi ikiwemo hata designing (katika uvaaji) hasa mavazi ya mwanamke wa kiislamu.

Wanajeshi zaidi wa UN kupelekwa Haiti


Katibu mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa Ban ki-Moon amesema kuwa anataka kupeleka wanajeshi na polisi 3500 zaidi kuimarishi utoaji wa misaada nchini Haiti, kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea wiki iliyopita.

Tayari shirika hilo liko na wanajeshi 9000 wa kulinda usalama waliopelekwa nchini humo miaka sita iliyopita, kuimarishi usalama wakati wa kipindi cha machafuko ya kisiasa.
Kwa sasa ujumbe huo unajiandaa kusaidia katika operesheni kubwa ya kibinadamu.
Maafisa wa kulinda amani wamesema kuwa uchunguzi wao umeonyesha kuwa hali ya usalama kwa ujumla imedhibitiwa. Lakini, wanajeshi zaidi wanahitajika kulinda misafara ya magari inayobeba misaada katika maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi.
Aidha, polisi wa ziada watasaidia kulinda vituo vya kusambaza misaada, lakini la muhimu zaidi ni kusaidia kuimarisha idara ya polisi nchini humo.

WINNIE, A MIRACLE GIRL FROM HAIT



AMAZING - The moment Winnie is plucked from the rubble


THIS is the angel-faced tot being hailed as a miracle of the Haiti earthquake disaster.

Little Winnie Tilin - just 16 months old - was pulled alive from the rubble of her family's home after 68 HOURS.
Her faint moans were heard by chance by a TV crew filming the devastation which has already claimed 50,000 lives. Tragically, among them are Winnie's parents, crushed to death by the falling masonry which amazingly missed her.
A further 150,000 are feared dead - and the tot joins the tens of thousands of children orphaned by Tuesday's massive quake in the country's capital Port-au-Prince. Millions more are injured or homeless.


Haiti has become a hell on earth since it was ripped apart by its biggest earthquake for 200 years, measuring 7.0 on the Richter Scale. Aftershocks continue to shake the ruined city, forcing survivors to sleep outdoors, terrified yet more buildings will collapse.
All around makeshift morgues have sprung up, already overflowing with broken bodies.

Incredibly, Winnie was rescued by an Australian news crew filming outside the capital's Save The Children charity office.

The TV team's interpreter Deiby Celestino heard her faint cries and jumped into the concrete hole she was trapped in.
After crawling over dead bodies to get to her, he was able to pull her out. Mr Celestino, from neighbouring Dominican Republic, said: "It's very emotional. It felt like my own baby I was pulling out there."
A Save The Children doctor who examined the toddler was amazed to find that, though she was severely dehydrated, she was not seriously injured. The toddler was then passed to her uncle, Frantz Tilin, who was looking for her after losing his pregnant wife in the disaster.
Rescue attempts were still going on last night with British firefighters emerging as heroes.
They hauled two-year-old Mia Charlotte from the collapsed Beatrice kindergarten in Port- au-Prince. The firemen were among a 64-strong British team who raced to the country.
Pete Stevenson, operations commander, said: "We are over the moon. Mia is beautiful and the rescue was a huge success."
Mia was later reunited with her grateful mother.

Monday, January 18, 2010

GOOD ANSWERS ALWAYS BRING JOY


Here a Capacity Building staff (Ingrid Smit) from Myc4 company is being informed a very good plan of Change2africa for the 2010 year. That the business should grow 3 times that of 2009 year but it will depend on the increase of upload amount, a higher limit that will be authorised by Myc4 company from Denmark.
Ingrid Smit visited Change2africa for the Due diligence.

HAPA NI MAJIBU MAZURI TU


Daudi Shao alimfurahisha mama wa kizungu baada ya kumpatia majibu yote mazuri.Haki ya Mungu Daudi anamajibu ya kufa mtu hadi mzungu anacheka ile ya sitaki nataka lakini kammaliza kabisa.
Daudi anafanya kazi na dada Jackline, Lucas na Aika.

ROLES CLARIFICATION


Here is Daudi (Loan Officer) trying to explain something to Ingrid Smit about the credit policy and debt collection policy.

I think the presence of this women will help change2africa increase their service efficience.
Change2africa Microfinance has head quarter at Dar es salaam City, Tanzania. Elity City Building, Samora Avenue and opposite to PPF House

Change2africa meeting with Myc4 capacity building staff (Ingrid Smit)


Sister Jackline who is the Custodian of change2africa (T) Ltd try to find a document from her computer to give to an interviewer St. Ingrid Smit from Myc4.

Change2africa work in partnership with myc4 company dealing with Business loans here in Dar es salaam, Tanzania.

Friday, January 15, 2010

COOPERATION BETWEEN LEADERS


Ushirikiano kati ya viongozi (government leaders) unaleta maendeleo kati ya nchi moja hadi nyingine.
Standing on the risers (L-R) * Bingu wa Mutharika, President of Malawi * Pierre Nkurunziza, President of Burundi * Festus Gontebanye Mogae, President of Botswana * Armando Emílio Guebuza, President of Mozambique * Levy Patrick Mwanawasa, President of Zambia * Meles Zenawi, Prime Minister of Ethiopia * Thabo Mvuyelwa Mbeki, President of South Africa * Paul Kagame, President of Rwanda * Omar Hassan Ahmad al-Bashir, President of Sudan * Joseph Kabila, President of the Democratic Republic of the Congo * Letsie III, King of Lesotho

ANGOLA 2-0 MALAWI


FLAVIO NA MANUCHO WAKIWA WANAPONGEZANA
Angola walifanya vizuri sana kushinda na hadi sasa wako juu kwa point 4, Algeria point 3 pamoja na malawi 3, Mali point 1.


"Follow the blog for more soccer information"
or visit http://www.soccerstand.com/

What happened
Goals by strikers Manucho and Flavio early in the second half were enough to give Angola their first win in Group A, following Sunday's 4-4 draw with Mali.




Angola bossed the game and limited Malawi to just a couple of chances.



But the victory may have come at a cost as goalscorer Flavio and winger Gilberto both came off with injuries.
The result still puts them top of Group A, however, and sets up a showdown with Algeria, whose own hopes of qualifying were revived by an earlier 1-0 victory against Mali.

The Angolans played with a high tempo from the start and created plenty of opportunities in the first half with several penetrating crosses, but no decisive final touch.
Flavio and Manucho linked up well in the opening half hour, during which their team enjoyed most of the possession and chances.
In the seventh minute, Flavio found Manucho with a deft cross and the big striker hit a good volley straight at Malawi goalkeeper Swanick Sanudi who very nearly palmed it into his own net.
And Manucho should have opened the scoring on 33 minutes when he was put clean through only to see his near-post shot stopped by a fine save from Sanudi.
Malawi had to wait until the 34th minute for their first chance, when left back Moses Chavula broke forward on the left, but striker Esau Kanyenda couldn't get any purchase on his effort in the six yard box.

Minutes later, the Flames had their best opportunity, when Chavula got to the byline to cross to Peter Wadabwa, who flicked a deft backheel goalwards that was well gathered by Angolan keeper Carlos Fernandes.
In first-half injury time, winger Stelvio whipped in a beautifully-weighted cross for Flavio from the right who headed narrowly over.
The pressure inevitably told within the first three minutes of the second half, however, from a beautifully-worked Angolan move.
The influential Djalma overlapped cleverly on the left, swapped to his right foot and whipped in another stinging cross for Flavio to power a header home for his third goal of the tournament.
The opener raised the noise to fever pitch inside the 11 November Stadium, and five minutes later Manucho almost took the roof off the brand-new arena when he doubled the lead.
The Vallodolid striker punished sloppy defending by Peter Mponda by dispossessing the defender on the edge of the box to burst into the area and hammer past a rooted Sanudi.
But the high tempo took its toll on the home side as Flavio followed Gilberto to the sideline, as he was stretchered off with a suspected recurrence of a hamstring injury in the 60th minute.

The striker was replaced by crowd favourite and former Young African Player of the Year Mantorras, who received a huge ovation when he took the field.
And the 27-year-old nearly sent the home fans into raptures when he blazed narrowly over from a free kick minutes later.
Malawi struggled to find a way back into the game - in contrast to their heroic performance against Algeria - and had to wait until the 70th minute before they again ventured properly into the Angolan box, with two unproductive corners.
The home side managed to close out the game this time, to the huge relief of their fans, who celebrated wildly at the final whistle.
"The team put in a fantastic effort," Angola coach Manuel Jose said.
"We had a lot of injuries. But they are the sort of sacrifices you have to make if you want to be champions.
"I believed before the game we could win it. The players were free in their minds, their confidence was very high."
One major concern for the organisers, however, will be the pitch, which continued to cut up and cause problems for both sides.
The 11 November Stadium is due to host one of the tournament's semi-finals and the final.
(Photo by Getty Images)

HAPA KAZI TU(Swahili language)


Hawa ni vijana wanaofanya kazi mjini Da es salaam katika ofisi tofautitofauti. wakiwa wako bize na majukukmu yao ya kulijenga taifa. Pia ni marafiki wazuri tu ambao wanapenda kutaniana kwamba mmoja ni ng'ombe mwingine ni ndama. watafute jijini Dar es salaam opposite na ppf house uwaulize wanamaanisha nini.
(Picture by Lucas)

Thursday, January 14, 2010

WANAENDELEA KUOKOLEWA


Kwa siku ya pili mfululizo maelfu ya watu wamelala nje bila makao kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea nchini Haiti
Katika mji mkuu wa Port-au-Prince, wakaazi wanaendelea kuchimba vifusi ili kutafuta manusura na kufukua miiili ya watu waliokufa. Miili iliyopatikana inawekwa barabarani huku ikiwa imefunikwa na mabati.

Kufikia sasa idadi kamili ya watu walioangamia bado haijulikani lakini rais wa Haiti, Rene Preval, amesema anaohofia ni maelfu ya watu.
Miongoni mwa waliouwawa ni askofu wa kanisa la Katoliki mjini humo, Joseph Serge Miot. Hospitali na mashirika ya kutoa misaada yanakabiliwa na changamoto kutokana na idadi kubwa ya majeruhi wanaohitaji matibabu.
(Picha na ap)

Wednesday, January 13, 2010

BBC BEST AFRICAN FOOTBALLER

Didier Drogba wa Chelsea na Ivory Coast ametangazwa mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora wa BBC Afrika 2010.

Mshambuliaji huyo amepata kura zaidi kuliko Samuel Eto'o, Michael Essien, Yaya Toure, na Tresor Mputu Mabi kushinda taji hilo.

Matokeo ya kura - zilizopigwa na mashabiki kote Afrika yalitangazwa moja kwa moja kutoka Angola kupitia kipindi cha Fast Track katika Idhaa ya Kiingereza ya BBC.
Drogba yupo Angola akiiongoza nchi yake kujiandaa kwa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika, ambako The Elephants wanapewa nafasi kubwa ya kushindwa.
Baada ya kuanza mwaka vibaya, Drogba aliimarisha kiwango chake cha soka na kuwa mmoja wa washambuliaji tishio duniani.
Baada ya kuwekwa kando kucheza kikosi cha kwanza na kocha Luis Felipe Scolari kutoka Brazil, mshambuliaji huyo alifunga goli moja tu katika mechi 10 ilipofika Februari

Waliowahi kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika

2008 - Mohamed Aboutrika
2007 - Emmanuel Adebayor
2006 - Michael Essien
2005 - Mohamed Barakat
2004 - Jay-Jay Okocha
2003 - Jay-Jay Okocha
2002 - El Hadji Diouf
2001 - Sammy Kuffour
2000 - Patrick Mboma




Tetemeko lasababisha maafa nchini Haiti

Maelfu wanahofiwa kufa kufuatia tetemeko hilo lililotokea nchini Haiti ambalo lilikuwa la kipimo cha 7.3 katika vipimo vya Ritcher.

Ripoti zinasema uharibifu mkubwa umetokea katikati mwa mji mkuu wa Port-au-Prince. Baadhi ya majengo yaliyoharibiwa vibaya ni ikulu ya rais na hospitali moja mjini humo.

Msemaji wa umoja wa mataifa mjini New York Martin Nesirkyo amethibitisha kuwa ofisi za umoja wa mataifa mjini Port-au-Prince zimeharibiwa. Amesema pia kuwa idadi kubwa ya watu wamezikwa chini ya vifusi na wengine kufa au kujeruhiwa.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hilary Clinton amesema Marekani tayari imeanza kutuma misaada ya dharura.
Wanajiolojia nchini Marekani wanasema tetemeko hilo la ardhi ndilo mbaya zaidi kwahi kuikumba Haiti kwa miaka mia mbili. Wataalamu hao pia wametoa tahadhari ya Tsunami.

Monday, January 11, 2010

COOPERATION AND EXCHANGING OF VIEWS

These two guys are staffs of Change2africa(T) Ltd, a microfinance dealing with Business loan at Dar es Salaam, Tanzania, Africa. Their company is growing faster because of the cooperation they have and their strategic plan that was there and still coming for the Organization.

Currently the microfinance is operating just in Dar es salaam city only while having a plan of expandinding the business upregions.


Contact with them at Elity city building, Samora avenue,opposite to PPF House, 3rd floor, Dar es salaam, tanzania.
(Picture by Lucas D)

2010 AFRICAN CUP: TRULY MALI PLAYED AN AMAZING GAME

The hosts of the African Cup of Nations(Angola) thought they had the win they craved against the visiting Eagles but an amazing late goal flurry denied them the victory. Angola vs Mali ties at 4-4 score.
Truly an amazing opening first game and a sign of more exciting soccer games to come this season.

Within 11 minutes Mali showed Angola what they can do in this African cup of nations.
The man playing in Hispania S. Keitta together with other International player from Mali were strong till the last minute.
Unbeleavableeeeeeeeeeeeeeeee game
(Photo by World Sports Buzz)

Friday, January 8, 2010

(Swahili language) Obama aamua kubeba lawama za usalama

Rais Obama ametangaza matokeo ya uchunguzi ulioendeshwa na ikulu ya Marekani kuhusu dosari za usalama kutokana na jaribio la raia wa Nigeria Umaru Farouk Abdul Mutallab la kuilipua ndege ya Marekani eneo la Detroit siku ya krisimasi.


Obama amesema serikali yake ilikuwa na taarifa muhimu za kuzuia shambulio hilo. Hata hivyo maafisa wa ujasusi walipuuza taarifa hizo na kuhatarisha nchi hiyo.

Rais huyo sasa ametangaza masharti mapya ambapo ameagiza taarifa zote za kiusalama zitolewe kwa vyombo vyote vya serikali.

Obama pia amesema yupo tayari kubeba lawama kosa linapotokea na kuongeza Marekani itaendelea kukabiliana na kundi la Al-Qaeda.


Thursday, January 7, 2010

DISCUSSION ON ADMINISTRATIVE ISSUES

These two sisters are trying to discuss on administration issue of a company known as Send Star, a company dealing with Contruction. Sharing views is what is making that company strong up this moment and it has sustainable development strategies.

Find this big company at Elite city Buildind , 3rd Floor, Samora Avenue, Da es Salaam, Tanzania, Africa

AMONG THE BEATFUL BUILDINGS IN DAR ES SALAAM CITY

Bank of Tanzania buildings (Towers) are located at the Easternside of the city and westernside of Indian ocean. they are well constructed and attractive to many Tanzanian peoples and other people from different world countries.
Welcome guys from all parts of the world and enjoy the city and other attractive areas like Mikumi park, Ngorongoro park and Serengeti national park. There you will find different animals with different habitats and of unique.

Come join some of people who usually visit those areas.

Wednesday, January 6, 2010

IVORYCOAST VsTAIFA STARS(TANZANIA)

This is the football ground where an international match between Ivorycoast against Tanzania was held. Ivory coast won 1-0 and tanzania was at their home ground. It is very good football ground that can be used day and night. and the football match was held during night.

Welcome to Tanzania all football teams from all over the world and enjoy the Tanzania's betterness

Tuesday, January 5, 2010

HOW THEY ARE BEING ADMIRED


These guys are well admired by young mens from many Africa countries, this was done by making sending mails talking of the group that is very much admired by young guys from different corners of the world. But most of the young african are them who usually say thay they like the guys spirit. keep it up Lilwyne and Birdman.